New York
Mkutano huo umefanyika leo tarehe 12 Februari, 2025 katika ukumbi wa Umoja wa Mataifa (UN), uliopo Jijini New York, Marekani huku ukihudhuriwa na Viongozi mbalimbali wakiwemo Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Katibu Mkuu wa IPU, Maspika, Manaibu Spika na Wakuu wa Misafara wa Mabunge ya China, Uingereza, Nigeria, Spain, Bahamas,Malta, Azerbaijan, Ivory Coast, Mexico, Uswisi, Algeria, Malawi, Canada na Qatar.
Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!