Home INTERNATIONAL RAIS SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI MKUU WA ETHIOPIA

RAIS SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI MKUU WA ETHIOPIA

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Waziri Mkuu wa Ethiopia Mhe. Abiy Ahmed kando ya Mkutano wa Kawaida wa 38 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa nchini Ethiopia.

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mfalme wa Eswatini, Mswati III kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Kawaida wa 38 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU), Jijini Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 15 Februari, 2025.