
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Magila ya Muheza Ester George Barua ambaye alimruhusu akalie kiti chake cha Rais kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa CCM Jitegemee Wilayani Muheza Mkoani Tanga tarehe 27 Februari, 2025. Rais Dkt. Samia alifurahishwa na Mwanafunzi huyo wa Shule ya Sekondari ya Serikali ya Kata (Magila Sekondari) wakati akielezea mafaniko ya Serikali ya Awamu ya Sita kwa Lugha ya Kingereza.
Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!