Home LOCAL Dkt. MWINYI AZINDUA BOTI ZA KUSAFIRISHIA WAGONJWA (AMBULANCE BOAT) ZANZIBAR

Dkt. MWINYI AZINDUA BOTI ZA KUSAFIRISHIA WAGONJWA (AMBULANCE BOAT) ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi akikata Utepe kuashiria Uzinduzi wa Boti za Kusafirisha Wagonjwa (Ambulance Boat)Verde Hotel Maruhubi Zanzibar.

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!

Waziri wa Afya Nassor Ahmed Mazrui akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Boti za Kusafirisha Wagonjwa (Ambulance Boat)zilizo zinduliwa na Rais wa Zanzibar Dk Hussein Ali Mwinyi Verde Hotel Maruhubi Zanzibar.

Boti ya Kusafirisha Wagonjwa  (Ambulance Boat) iliotengenezwa na   na Kampuni ya QIRO GROUP Viwanda Vidogovidogo Zanzibar ikitembea katika Maji baada ya kuzinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi 
Verde Hotel  Maruhubi Zanzibar

Msaidizi Mkurugenzi wa Benki ya Dunia Tanzania Melina Stefano akitoa salamu za Benki hio katika hafla ya Uzinduzi wa Boti za Kusafirisha Wagonjwa (Ambulance Boat)Verde Hotel Maruhubi Zanzibar.

Meneja wa Kanda ya Kusini mwa Afrika Benki ya Dunia Dk,Ernest Massiah akizungumza katika  hafla ya Uzinduzi wa Boti za Kusafirisha Wagonjwa (Ambulance Boat)Verde Hotel Maruhubi Zanzibar.

Waziri wa Afya Nassor Ahmed Mazrui akiinua Mkono kuashiria kuwasalimia Wananchi waliohudhuria katika hafla ya Uzinduzi wa Boti za Kusafirisha Wagonjwa (Ambulance Boat)Verde Hotel Maruhubi Zanzibar.

Baadhi ya Wauguzi na Madaktari wakiinua Mikono kuashiria Uungaji Mkono hatua zinazochukuliwa na Wizara ya Afya katika hafla ya Uzinduzi wa Boti za Kusafirisha Wagonjwa (Ambulance Boat)Verde Hotel Maruhubi Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi akibadilishana mawazo na Waziri wa Afya Nassor Ahmed Mazrui katika hafla ya Uzinduzi wa Boti za Kusafirisha Wagonjwa (Ambulance Boat)Verde Hotel Maruhubi Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI,MAELEZO ZANZIBAR.