Home BUSINESS MKURUGENZI WA GGML ATEMBELEA BANDA LA DIB MAONESHO YA MADINI GEITA

MKURUGENZI WA GGML ATEMBELEA BANDA LA DIB MAONESHO YA MADINI GEITA

Mkurugenzi Mtendaji wa GGML, Terry Strong (kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi wa Bodi ya Bima ya Amana DIB wakati alipotembelea banda la Bodi hiyo katika maonesho ya teknolojia ya madini yanayofanyika kwenye viwanja vya EPZA Bombambili mjini Geita, Kushoto ni Kulwa James Kasuka, Mhasibu Mwandamizi kutoka Bodi ya Bima ya Amana DIB.

Mkurugenzi Mtendaji wa GGML, Terry Strong (kushoto akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Bodi ya Bima ya Amana DIB wakati alipotembelea banda la Bodi hiyo katika maonesho ya teknolojia ya madini yanayofanyika kwenye viwanja vya EPZA Bombambili mjini Geita.

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!

 

Mkurugenzi Mtendaji wa GGML, Terry Strong  kushoto akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Bodi ya Bima ya Amana DIB wakati alipotembelea banda la Bodi hiyo katika maonesho ya teknolojia ya madini yanayofanyika kwenye viwanja vya EPZA Bombambili mjini Geita, Kushoto ni Kulwa James Kasuka, Mhasibu Mwandamizi kutoka Bodi ya Bima ya Amana DIB .

Mkurugenzi Mtendaji wa GGML, Terry Strong (kukusho akisaini kitabu cha wageni  alipotembelea banda la Bodi hiyo katika maonesho ya teknolojia ya madini yanayofanyika kwenye viwanja vya EPZA Bombambili mjini Geita, Kushoto ni Kulwa James Kasuka, Mhasibu Mwandamizi kutoka Bodi ya Bima ya Amana DIB.

 

Mkurugenzi Mtendaji wa GGML, Terry Strong  kushoto akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa Bodi ya Bima ya Amana DIB wakati alipotembelea banda la Bodi hiyo katika maonesho ya teknolojia ya madini yanayofanyika kwenye viwanja vya EPZA Bombambili mjini Geita, Kushoto ni Kulwa James Kasuka, Mhasibu Mwandamizi kutoka Bodi ya Bima ya Amana DIB.