Home BUSINESS DIB YATOA ELIMU KWA WANANCHI MAONESHO YA MADINI GEITA

DIB YATOA ELIMU KWA WANANCHI MAONESHO YA MADINI GEITA

Afisa kutoka Bodi ya Bima ya Amana (DIB) Careen Max (kulia), akizungumza na wadau kutoka Benki ya Azania waliotembelea katika Banda la Bodi hiyo kwenye maonesho ya saba ya Teknolojia katika Sekta ya Madini yanayoendelea kwenye viwanja vya EPZ Bombambili mkoani Geita.

DIB inashiriki katika maonesho hayo kutoa elimu kwa wananchi kufahamu majukumu na kazi wanazofanya kwa mujibu wa sheria. 

Previous articleNAIBU WAZIRI MKUU Dkt. BITEKO AUPONGEZA MGODI WA BUCKREEF
Next articleEPZA YATOA ELIMU KWA WADAUNA WANANCHI MAONESHO YA MADINI GEITA
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here