Home SPORTS WAZIRI MKUU ASHIRIKI MBIO ZA HISANI JIJINI DAR

WAZIRI MKUU ASHIRIKI MBIO ZA HISANI JIJINI DAR

WAZIRI MKUU ASHIRIKI MBIO ZA HISANI ZA MAENDELEO BANK

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Septemba 07, 2024 ameshiriki katika mbio za hisani za Maendeleo Bank Marathon 2024 zilizoanzia na kuishia katika viwanja vya Greenpark garden Oysterbay jijini Dar es Salaam.

Lengo la mbio hizo ni kukusanya zaidi ya shilingi milioni 200 kwa ajili ya kusaidia watoto wenye changamoto mbalimbali hapa nchini.

Kauli mbiu ya mbio hizo ni “Hatua ya Faraja- Msimu wa Pili”.

Previous articleDKT. BITEKO AKUTANA NA BALOZI MPYA WA UINGEREZA NCHINI
Next articleMAKAMU WA RAIS AMETOA RAI KWA VIONGOZI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KUSIMAMIA SHERIA YA USAJILI JUMUIA PAMOJA NA KANUNI ZAKE
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here