Home LOCAL RAIS SAMIA KUWA MWENYEKITI JUKWAA LA VIONGOZI WAKUU AFRIKA NA CHINA

RAIS SAMIA KUWA MWENYEKITI JUKWAA LA VIONGOZI WAKUU AFRIKA NA CHINA

BEIJING CHINA 

Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Viongozi wakuu wa nchi za Afrika na China  mkutano unaotarajiwa kuaanza tarehe 4-6 Katika ziara yake nchini China 

Atashiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC).

Atahutubia ufunguzi wa mkutano wa FOCAC.

Atafanya mazungumzo na Rais China, Mhe. Xi Jinping na kushuhudia uwekaji saini wa Hati za Makubaliano ya Uboreshaji wa Reli ya TAZARA.

Atakutana na makampuni na wawekezaji kutoka China ili kuhamasisha uwekezaji zaidi nchini Tanzania.

Previous articleWAZIRI MCHENGERWA AZINDUA MFUMO MPYA WA KIELETRONIKI TIKETI ZA MWENDOKASI
Next articleWAZIRI NDUMBARO AMUONGEZEA FAINI SHILINGI MILIONI 5 BABU WA TIKTOK, ATOA WIKI MBILI ALIPE
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here