Home BUSINESS WAZIRI JAFO ATETA NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI TANZANIA

WAZIRI JAFO ATETA NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI TANZANIA


Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt.Selemani Jafo (Mb) akiwa na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Bw. Sempeho Manongi na Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Wizara hiyo Bw. Needpeace Wambuya amekutana na kuzungumza na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe.Balozi Marianne Young  katika 0fisi ya Wizara, jijini Dodoma.

Mhe. Jafo amesema kuwa wamejadiliana kuhusu namna ya kuimarisha Uhusiano wa Kibiashara na Uwekezaji baina ya nchi hizo.

Previous articleMBUNGE MTATURU ALIA NA USALAMA VIWANJA VYA NDEGE.
Next articleWAKULIMA WA DENGU MANYARA WATAKIWA KUWASILISHA TAARIFA SAHIHI ZA KUPOKELEA MALIPO YAO

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here