Home BUSINESS KAMANDA MULIRO ATEMBELEA BANDA LA BoT SABASABA

KAMANDA MULIRO ATEMBELEA BANDA LA BoT SABASABA

Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, ametembelea banda la Benki Kuu ya Tanzania kwenye Maonesho ya Sabasaba yanayofanyika katika viwanja vya Mwl. Julius K. Nyerere kuanzia tarehe 28 Juni hadi 13 Julai 2024.

Katika ziara yake amejionea namna wataalamu wa Benki Kuu wanatoa elimu kwa wananchi wanaotembelea banda letu kuhusu kazi za BoT.

Previous articleSOMA MAGAZETI YA LEO JULAI 5-2024
Next articleRAIS SAMIA ASHIRIKI KWENYE KONGAMANO LA WANAWAKE WA KIISLAM ZANZIBAR KWA AJILI YA KUADHIMISHA MWAKA MPYA WA KIISLAM 1446-H/2024
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here