Home BUSINESS MAADHIMISHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA, BRELA YATOA HUDUMA ZA PAPO KWA...

MAADHIMISHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA, BRELA YATOA HUDUMA ZA PAPO KWA HAPO JIJINI DAR

Watumishi wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) wakishiriki maadhimishi ya Wiki ya Utumishi wa Umma kwa kutoa huduma za papo kwa papo kwa wateja katika viwanja vya Ofisi ya BRELA Jijini Dar es Salaam.

Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni KAULI MBIU ” KUWEKEZA KWA UTUMISHI WA UMMA WA AFRIKA KARNE YA 21 ILIYO JUMUISHI NA INAYOSTAWI; NI SAFARI YA MAFUNZO NA MABADILIKO YA KITEKNOLOJIA”

Previous articleSOMA MAGAZETI YA LEO JUMANNE JUNI 18-2024
Next articleKATIBU MKUU WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA AZINDUA MAFUNZO YA BRELA KWA WAANDISHI WA HABARI
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here