Home BUSINESS BUNGE LAPITISHA KWA KISHINDO BAJETI KUU YA SERIKALI YA TRILIONI 49.35

BUNGE LAPITISHA KWA KISHINDO BAJETI KUU YA SERIKALI YA TRILIONI 49.35

Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepitisha kwa kishindo Bajeti Kuu ya Serikali ya shilingi trilioni 49.35 kwa mwaka 2024/25, bungeni jijini Dodoma, ambapo katika zoezi la upigaji kura, Wabunge 362 wamepiga kura za ndio na wabunge 18 wamepiga kura za kutoamua.

Previous articleMWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AZINDUA KLINIKI YA USHAURI NA ELIMU YA KISHERIA KWA UMMA
Next articleRC-MTANDA AIPONGEZA MSD KWA MAGEUZI YA KIUTENDAJI
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here