Home LOCAL RAIS SAMIA KATIKA MATUKIO YA PICHA ALIPOZUNGUMZA NA VIJANA WA UVCCM ZANZIBAR

RAIS SAMIA KATIKA MATUKIO YA PICHA ALIPOZUNGUMZA NA VIJANA WA UVCCM ZANZIBAR

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Jesca Magufuli mtoto wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati John Pombe Magufuli mara baada ya kuhutubia Vijana wa UVCCM wakati wa Shamrashamra za kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliofanyika kwenye Viwanja vya Maisara, Zanzibar tarehe 10 Januari, 2024.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Chipukizi (CCM) Taifa Atkah Juma Hassan mara baada ya kuhutubia Vijana wa UVCCM wakati wa Shamrashamra za kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika kwenye Viwanja vya Maisara, Zanzibar tarehe 10 Januari, 2024.
 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na Mwenyekiti wa Chipukizi (CCM) Taifa Qailah Nurdin Bilal pamoja na Makamu Mwenyekiti wa Chipukizi (CCM) Taifa Atkah Juma Hassan mara baada ya kuhutubia Vijana wa UVCCM wakati wa Shamrashamra za kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliofanyika kwenye Viwanja vya Maisara, Zanzibar tarehe 10 Januari, 2024.

Previous articleDkt. MAGHEMBE: ZINGATIENI MAADILI UTU NA HESHIMA KATIKA KUTOA HUDUMA ZA AFYA
Next articleRC CHALAMILA AKABIDHI VIFAA TIBA VYA MILIONI 691 KWA WABUNGE WA MAJIMBO 10 YA DAR ES SALAAM
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here