Home SPORTS IVORY COAST 2-0 GUINEA BISSAU AFCON 2024

IVORY COAST 2-0 GUINEA BISSAU AFCON 2024

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!

Wenyeji wa mashindano ya AFCON 2024 timu ya Taifa ya Ivory Coast imeanza vema michuano hiyo kwa kuichapa timu ya Taifa ya Guinea Bissau magoli 2-0.

Huo ni mchezo wa kwanza wa ufunguzi wa michuano hiyo inayofanyika nchini Ivory Coast ikiwa na michezo 53 itakayopigwa katika viwanja tofauti nchini humo.

#Afcon2024