Home BUSINESS MKUU WA POLISI TAZARA ATEMBELEA BANDA LA (TPA) MAONESHO YA NANENANE MBEYA

MKUU WA POLISI TAZARA ATEMBELEA BANDA LA (TPA) MAONESHO YA NANENANE MBEYA

Meneja wa Idara ya Masoko na Uhusiano Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Bw. Nicodemus Mushi akikabidhi zawadi kwa Kamanda wa Kikosi cha Polisi Tazara SACP Mwamini Rwantale wakati alipotembelea katika banda la Mamlaka hiyo kwenye maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nanenane yanayofanyika kwenye viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya leo Agosti 7,2023.

Meneja wa Idara ya Masoko na Uhusiano Mamlaka ya Bandari Tanzania TPA Bw. Nicodemus Mushi akitoa maelezo kwa Kamanda wa Kikosi polisi Tazara SACP Mwamini Rwantale wakati alipotembelea katika banda la Mamlaka hiyo  kwenye maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nanenane yanayofanyika kwenye viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya leo Agosti 7,2023.

Meneja wa Idara ya Masoko na Uhusiano Mamlaka ya Bandari Tanzania TPA Bw. Nicodemus Mushi akimsikiliza  Kamanda wa Kikosi Polisi  Tazara SACP Mwamini Rwantale wakati alipotembelea katika banda la Mamlaka hiyo  kwenye maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nanenane yanayofanyika katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya leo Agosti 7,2023.

Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania wakiwa katika banda lao kwenye maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nanenane yanayoendelea kwenye viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya

Wananchi mbalimbali wakipata maelezo katika banda la Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) wakati walipotembelea katika banda hilo.

Previous articleBENKI YA NMB YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA
Next articleTASAC: WAMILIKI WA VYOMBO VYA USAFIRI WA MAJI WANAPASWA KUZINGATIA SHERIA NA KAKUNI KUEPUSHA AJALI
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here