Home LOCAL HABARI PICHA: SEKRETARIETI YA TNCM YAKUTANA NA KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI...

HABARI PICHA: SEKRETARIETI YA TNCM YAKUTANA NA KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU DKT. YONAZI

Kikao cha Kujenga uelewa wa pamoja kuhusu uratibu wa programu za Malaria, Kifua Kikuu, UKIMWI pamoja Uimarishaji wa Mifumo ya kutolea Huduma za Afya nchini kupitia ufadhili wa Mfuko wa Dunia (Global Fund), kikao kilihudhuriwa na Mwenyekiti wa TNCM ambaye pia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi, Katibu Mtendaji wa TNCM Dkt. Rachel Makunde, Bw. Paul Sangawe Mkurugenzi wa Sera na Uratibu wa Shughuli za Serikali kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Pamoja na Maafisa kutoka OWM na Sekretarieti ya TNCM. Kikao kilifanyika katika hoteli ya Ramada Jijini Dar es Salaam tarehe 23 Agosti, 2023

Previous articleMAGAZETI YA LEO JUMATANO AGOSTI 23-2023
Next articleMRADI WA HEET KUINUFAISHA SUA
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here