Home BUSINESS KIKAO KAZI CHA KUPITISHA MAPENDEKEZO YA MPANGO WA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA...

KIKAO KAZI CHA KUPITISHA MAPENDEKEZO YA MPANGO WA KUBORESHA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI NCHINI

Mchumi Mwandamizi kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Bw. Francis Makusaro akiongoza kikao kazi cha kupitia mapendekezo ya mpango wa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji Nchini (Mkumbi/Blue Print) kuhusu sheria zinazosimamia biashara ya vyakula vya mifugo ndani na nje ya nchi kilichofanyika kwenye ukumbi wa Wizara Mtumba jijini Dodoma Julai 24 -26,2023.

Kaimu Mkurugenzi Sera na Mipango (Mifugo) Bw. Daudi Mayeji akifungua kikao kazi cha kupitia mapendekezo ya mpango wa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji Nchini (Mkumbi/Blue Print) kuhusu sheria zinazosimamia biashara ya vyakula vya mifugo ndani na nje ya Nchi kilichofanyika kwenye Ukumbi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mtumba jijini Dodoma, Julai 24-26,2023.

Sehemu ya washiriki wa kikao kazi cha kupitia mapendekezo ya mpango wa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji Nchini (Mkumbi/Blue Print) kuhusu sheria zinazosimamia biashara ya vyakula vya mifugo ndani na nje ya Nchi kilichofanyika kwenye ukumbi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mtumba jijini Dodoma Julai 24-26,2023.

Previous articleJAJI MKUU ASHIRIKI IBADA YA MKE ALIYEKUWA JAJI MKUU WA KWANZA MTANZANIA
Next articleSERIKALI KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WENYE VIWANDA – DKT. KIJAJI
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here