Home LOCAL KATIBU MKUU CHONGOLO AMTEMBELEA BALOZI WA KATA YA BWAWANI KONDOA

KATIBU MKUU CHONGOLO AMTEMBELEA BALOZI WA KATA YA BWAWANI KONDOA

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Daniel Chongolo, akiwa nyumbani kwa Mwenyekiti wa Shina namba sita, kata ya Bwawani, jimbo la Kondoa, Mkoani Dodoma, akizungumza na wananchi pamoja na wanaCCM waliojitokeza kumpokea na kusikiliza kero zinazowakabili likiwemo suala la maji.

Katika ziara hiyo Katibu Mkuu wa CCM ameambatana na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Sophia Mjema pamoja na Katibu NEC, Oganaizesheni, Issa Haji Gavu.

Previous articleMITAWI: TUMECHUKUA HATUA NA MIKAKATI MADHUBUTI BIASHARA YA KABONI
Next articleWANAFUNZI WOTE KUPATA MIKOPO YA ELIMU YA JUU
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here