Home BUSINESS MAWAZIRI WATATU WAJADILI UWEKEZAJI NA KILIMO

MAWAZIRI WATATU WAJADILI UWEKEZAJI NA KILIMO

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (katikati), Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) (kushoto) na Waziri wa Kilimo, Mhe.  Hussein Bashe (Mb) wakiwa katika kikao kazi na wataalamu kutoka Wizara hizo wakiangazia namna ya kukuza  Uwekezaji, Viwanda, Biashara na Kilimo, jijini Dodoma.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Natu El- Maamry Mwamba (kushoto) akiwa na wataalamu wengine wakati wa kikao kazi na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) na Waziri wa Kilimo, Mhe.  Hussein Bashe (Mb) (hawapo pichani), kilichofanyika, jijini Dodoma.

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) na Waziri wa Kilimo, Mhe.  Hussein Bashe (Mb) (mbele), wakiwa katika kikao kazi na wataalamu kutoka Wizara hizo tatu, jijini Dodoma.

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (katikati), Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) (kushoto) na Waziri wa Kilimo, Mhe.  Hussein Bashe (Mb) wakiwa katika kikao kazi na wataalamu kutoka Wizara hizo wakiangazia suala la Uwekezaji, Viwanda, Biashara na Kilimo, jijini Dodoma.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WFM, Dodoma)
Previous articleJESHI LA POLISI TANZANIA LAMUAGA RASMI SIRRO
Next articleDKT. NCHEMBA APOKEA RIPOTI ZA SENSA
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here