Home LOCAL DART YATOA MSAADA WA VYAKULA NA VIFAA MBALIMBALI KIJIJI CHA MATUMAINI DODOMA

DART YATOA MSAADA WA VYAKULA NA VIFAA MBALIMBALI KIJIJI CHA MATUMAINI DODOMA

Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimali watu na Utawala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) Dkt. Elephas Mollel akikabidhi zawadi kutoka DART kwa Father Vicent Boselli wa kijiji cha Matumaini kilichopo Kisasa jijini Dodoma wakati waandishi wa habari washiriki wa semina iliyoandaliwa na taasisi DART  iliyoandaliwa na kufanyika Dodoma kwa wiki moja walipoenda kutoa msaada wa vyakula na  vifaa mbalimbali  kwa ajili ya watoto wanaolelewa katika kituo hicho katikati ni Sister Mari Rosalia Gargulo wa kijiji cha Matumaini mwishoni mwa wiki Mei 19,2023

Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimali watu na Utawala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) Dkt. Elephas Mollel akikabidhi zawadi kutoka DART kwa Sister Mari Rosalia Gargulo wa kijiji cha Matumaini  kilichopo Kisasa jijini Dodoma wakati waandishi wa habari washiriki wa semina iliyoandaliwa na  taasisi ya DART na kufanyika Dodoma kwa wiki moja walipoenda kutoa msaada wa vyakula na  vifaa mbalimbali  kwa ajili ya watoto wanaolelewa katika kituo hicho mwishoi mwa wiki Mei 19,2023

Father Vicent Boselli wa kijiji cha Matumaini kilichopo Kisasa jijini Dodoma  akitoa maelezo kwa Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimali watu na Utawala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) Dkt. Elephas Mollel  aliyeongozana na Waandishi wa habari washiriki wa semina ya taasisi hiyo ilyofanyika wiki ilyopita jijini dodoma wakati walipotembelea na kukabidhi vyakula za zawadi mbalimbali kwa watoto wanalolelewa katika kijiji chicho mwishoni mwa wiki Mei 19,2023.

Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimali watu na Utawala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) Dkt. Elephas Mollel akikabidhi zawadi kutoka DART kwa  Sister Efrancia Julius na Sister Mari Rosalia Gargulo  wa kijiji cha Matumaini  kilichopo Kisasa jijini Dodoma

Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimali watu na Utawala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) Dkt. Elephas Mollel mara baada ya kukabidhi zawadi na vifaa mbalimbali kutoka DART kwa  Sister Efrancia Julius na Sister Mari Rosalia Gargulo  wa kijiji cha Matumaini  kilichopo Kisasa jijini Dodoma katikati ni Father Vicent Boselli Mei 19,2023

Baadhi ya maofisa wa DART na waandishi wa habari waksikilia maeleo ya Father Vicent Boselli.

Previous articleSERIKALI ITAENDELEA KUVIJENGEA UWEZO VIWANDA VYA SARUJI NCHINI – DKT. KIJAJI
Next articleBARRICK YADHAMINI KONGAMANO LA WANAFUNZI CHUO KIKUU CHA IRINGA
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here