Home Uncategorized MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UMOJA WA ULAYA

MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UMOJA WA ULAYA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akifanya Mazungumzo na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania na Jumuiya ya Afrika Mashariki Manfredo Fanti, Mazungumzo yaliofanyika Ikulu Jijini Dar es salaam leo tarehe 22 Februari 2023. Kesho tarehe 23 Februari 2023 Makamu wa Rais anatarajia kuwa Mgeni Rasmi katika Kongamano la Uwekezaji kati ya Tanzania na Umoja wa Ulaya litakalofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania na Jumuiya Afrika Mashariki Manfredo Fanti mara baada ya mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu Jijini Dar es salaam leo tarehe 22 Februari 2023. Kesho tarehe 23 Februari 2023 Makamu wa Rais anatarajia kuwa Mgeni Rasmi katika Kongamano la Uwekezaji kati ya Tanzania na Umoja wa Ulaya litakalofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam.

Previous articleRC GEITA AIONGEZA RUWASA UCHAPAJI KAZI.
Next articleWANAFUNZI MBINGA GIRLS WAMSHUKURU RAIS SAMIA KUJENGA VYUMBA VIPYA VYA MADARASA
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here