Home BUSINESS MKUU WA MKOA WA GEITA AIPONGEZA STAMICO KWA KUNUNUA MITAMBO YA KISASA...

MKUU WA MKOA WA GEITA AIPONGEZA STAMICO KWA KUNUNUA MITAMBO YA KISASA YA UTAFITI WA MADINI

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini Tanzania STAMICO Dkt. Venance Mwase akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Geita Mh.Martine Shigela  kando ya mtambo wa kisasa wa Uchorongaji na utafiti wa madini wakati mkuu wa mkoa  huyo alipotembelea maonesho ya Madini mkoani Geita STAMICO  inashiriki katika maonesho hayo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini Tanzania STAMICO Dkt. Venance Mwase akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Geita Mh.Martine Shigela  kando ya mtambo wa kisasa wa Uchorongaji na utafiti wa madini wakati mkuu wa mkoa  huyo alipotembelea banda la STAMICO Katika  maonesho ya Madini mkoani Geita , STAMICO inashiriki katika maonesho hayo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini Tanzania STAMICO Dkt. Venance Mwase akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Geita Mh.Martine Shigela  namna Sampuli za utafiti wa Madini zinavyokuwa baada ya  Uchorongaji na utafiti wa madini  kufanyika wakati mkuu wa mkoa  huyo alipotembelea banda la STAMICO Katika maonesho ya Madini mkoani Geita STAMICO pia inashiriki katika maonesho hayo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini Tanzania STAMICO Dkt. Venance Mwase akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Geita Mh.Martine Shigela kuhusu Mkaa mbadala unaotengenezwa kwa Makaa ya Mawe wakati mkuu wa mkoa  huyo alipotembelea banda la STAMICO Katika  maonesho ya Madini mkoani Geita STAMICO inashiriki katika maonesho hayo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini Tanzania STAMICO Dkt. Venance Mwase akimkabidhi zawadi mbalimbali Mkuu wa Mkoa wa Geita Mh.Martine Shigela baada ya kutembelea banda la STAMICO Katika  maonesho ya Madini mkoani Geita STAMICO inashiriki katika maonesho hayo.

Martine Shigela ameipongeza Shirika la Madini Tanzania STAMICO Kwa Kununua mitambo hiyo ya kisasa Kwa ajili ya uchorongaji na utafiti wa madini kwakuwa italeta ufanisi mkubwa Katika sekta ya madini hasa ukizingatia kwamba sekta hiyo imekuwa ikifanywa Kwa Teknolojia na vifaa vya kisasa ili kurahisisha kazi ya Uchimbaji na kuleta ufanisi Katika uzalishaji wa madini.

Previous articleBoT YATEMBELEWA NA UJUMBE KUTOKA SERIKALI YA ZAMBIA
Next articleWAZIRI MADINI: MGODI WA GGML MFANO BORA AFRIKA KUHUDUMIA JAMII
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here