Home LOCAL RAIS SAMIA AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI BAADA YA KUHESABIWA IKULU YA...

RAIS SAMIA AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI BAADA YA KUHESABIWA IKULU YA CHA MWINO DODOMA

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kuhesabiwa katika Makazi yake Chamwino Ikulu Mkoani Dodoma tarehe 23 Agosti, 2022 katika shughuli ya Sensa ya Watu na Makazi.