Home LOCAL RAIS SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAZEE WA MKOA WA KUSINI PEMBA

RAIS SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAZEE WA MKOA WA KUSINI PEMBA

      Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na makundi mbalimbali ya Wazee Kisiwani Pemba katika ukumbi wa kiwanda cha Makonyo Wilaya ya Chakechake mkoa wa Kusini Pemba.

Sehemu ya Wazee, Viongozi wa vyama vya Siasa pamoja na Viongozi wa dini wakiwa kwenye kikao na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Kisiwani Pemba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Sheikh Rashid Hamad Othman, Mlezi wa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud, wakati alimpomtembelea nyumbani kwake Utaani Wilaya ya Wete mkoa wa Kaskazini Pemba.

Previous articleMWANRI AIPONGEZA SERIKALI KUONGEZA MSULI SEKTA YA KILIMO…ATAKA KUZALISHA VYA ZIADA
Next articleVIJANA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA KWENYE KILIMO
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here