Home LOCAL TMA YATANGAZA MVUA KUBWA KUNYESHA KATIKA MIKOA 15

TMA YATANGAZA MVUA KUBWA KUNYESHA KATIKA MIKOA 15

TMA imeitaja mikoa ambayo itakumbwa na mvua hizo ni pamoja na Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Mara, Arusha na Manyara.

Aidha mvua hiyo pia itanyesha kesho Januari 18, katika mikoa 15 ya Mwanza, Kagera, Geita, Shinyanga, Simiyu, Tabora, Manyara, Kilimanjaro, Tanga, Dodoma, Arusha, Lindi, Mtwara, Mara na Singida. Huku Jumatano ya Januari 19 mvua hiyo ikitarajiwa kunyesha kwenye mikoa 12.

Credit – Malunde Blog
Previous articleMBEYA CITY YAICHAPA SIMBA SC 1-0 DIMBA LA SOKOINE
Next articleWAZIRI WA AFYA MHE. UMMY MWALIMU AFANYA MAZUNGUMZO NA VIONGOZI IDARA YA KINGA DODOMA.
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here