Home SPORTS SHIBOUB, TENENA KUCHEZEA SIMBA MAPINDUZI CUP

SHIBOUB, TENENA KUCHEZEA SIMBA MAPINDUZI CUP

MSHAMBULIAJI Msudan, akiwa mazoezini na klabu ya Simba ambako amerejea kwa majaribio ambayo kama atamvutia kocha Mspaniola, Pablo Franco Martin atasajiliwa tena.
 


Pamoja na Shiboub, kuna mchezaji mwingine kutoka Ivory Coast, Cheick Ahmed Tenena Moukoro naye pia anafanya majaribio. Simba inajiandaa na mechi yake ya kwanza ya Kundi C Kombe la Mapinduzi dhidi ya Selem View Jumatano

.

Previous articlePEMBA YAZIDI KUFUNGUKA KIUWEKEZAJI, RAIS MWINYI AWEKA JIWE LA MSINGI LA KIWANDA CHA MAJI SAFI CHA WATERCOM (T)
Next articleRAIS SAMIA AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI MBALIMBALI LEO
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here