Home LOCAL RAIS DKT.HUSSEIN MWINYI AZUNGUMZA NA MABALOZI WALIOTEULIWA HIVI KARIBUNI.

RAIS DKT.HUSSEIN MWINYI AZUNGUMZA NA MABALOZI WALIOTEULIWA HIVI KARIBUNI.

 


Rais wa Zanzibar na Mwenyeiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Mabalozi walioteuliwa kuiwakilisha Tanzania katika Nchi mbali mbali walipofika Ikulu jijini Zanzibar kwa kuagana nao pamoja na kupata maagizo katika utekelezaji wa kazi zao (kushoto) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Injinia Zena Ahmed Said.[Picha na Ikulu] 05/01/2022.


Rais wa Zanzibar na Mwenyeiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akisisitiza jambo alipozungumza na Mabalozi walioteuliwa kuiwakilisha Tanzania katika Nchi mbali mbali walipofika Ikulu jijini Zanzibar kwa kuagana nao na kupata maagizo katika utekelezaji wa kazi zao .[Picha na Ikulu] 05/01/2022.

Rais wa Zanzibar na Mwenyeiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akisisitiza jambo alipozungumza na Mabalozi walioteuliwa kuiwakilisha Tanzania katika  Nchi mbali mbali walipofika Ikulu jijini Zanzibar kwa kuagana nao na       kupata maagizo  katika utekelezaji wa kazi zao .[Picha na Ikulu] 05/01/2022.
Previous articleWAZIRI MKUU AMJULIA HALI MUFTI NA SHEIKH MKUU
Next articleSERIKALI KUMALIZA KERO YA MAJI KATIKA VIJIJI 44 TABORA
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here