Home SPORTS YANGA YADONDOKEA PUA KESI YA MORRISON

YANGA YADONDOKEA PUA KESI YA MORRISON

 

Na: mwandishi wetu.

MAHAKAMA ya Usuluhishi ya Michezo (CAS) imetupilia mbali kesi ya klabu ya Yanga dhidi ya winga Mghana, Bernard Morrison hadi.

Taarifa ya CAS imesema kwamba mkataba wa awali wa Yanga na Morrison ulimalizika Julai 14, mwaka 2020 na wa pili ambao Mghana huyo anaukana alisharejesha fedha za klabu hiyo dola za Kimarekani 30,000 hivyo hakuna kesi baina yao.

Previous articleKUTOKA MAGAZETINI ASUBUHI YA LEO J.TATU NOVEMBA 22-2021
Next articleYANGA YAKUBALI MATOKEO KESI YA MORRISON
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here