Home SPORTS SIMBA WATAJA KIINGILIO CHA RED ARROWS

SIMBA WATAJA KIINGILIO CHA RED ARROWS


Na: Stella Kessy, DAR 

UONGOZI wa klabu ya Simba umeweka hadharani viingilio vya mchezo  wa kwanza wa  kombe la shirikisho Afrika dhidi ya Red Arrows Utakaopigwa jumapili katika dimba la Uwanja wa Benjamini Mkapa.
Huku kiingilio cha chini kimewekwa shilingi 5000 ili kiwafanya mashabiki kujitokeza kwa wingi uwanjani kuisapoti timu kupata matokeo.
Tiketi zimeanza kuuzwa leo kwenye vituo mbali mbali ambapo kupitia mitandao ya simu zilianza kuuzwa tangu jumanne.
Hata hivyo mzunguko ni shilingi 5000,huku VIP B na C ni shilingi 20,000 VIP ni shilingi 40,000.

Previous articleMASHABIKI 35,000 RUKSA KUCHEKI SIMBA Vs RED ARROWS
Next articleRAIS DK.MWINYI AFUNGUA MASIKITI WA MASJID AL NOOR UNGUJA UKUU KAEPWANI NA KUJUMUIKA KATIKA IBADA YA SALA YA IJUMAA
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here