Mwanasheria wa Wizara ya Madini Godfrey Nyakisinda (wa kwanza kushoto) akizungumza mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Geita Rosemary Senyamule (kulia) wakati wa ziara ya viongozi kutembelea mabanda katika maonesho ya Madini Mjini Geita. (wa pili kushoto) ni Kaimu Kamishna wa uongezaji thamani kutoka Wizara ya Madini Betha Luzabiko.
Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!
Kaimu Kamishna wa uongezaji thamani kutoka Wizara ya Madini Betha Luzabiko. (kushoto) akitoa maelezo kwa Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana amina Makiragi (wa kwanza kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Geita Rosemary Senyamule (wa pili kulia) walipokuwa kwenye Banda la Wizara ya madini kupata maelezo kutoka kwa mtaalamu huyo kuhusu mafanikio yaliyopatikana kwenye sekta hiyo kufuatia marekebisho ya sheria ya madini ya mwaka 2010 yaliyofanyika mwaka 2017.