
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar
Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mussa Azan Zungu ambaye pia ni mbunge wa Ilala amewaasa Watanzania kushiriki kikamilifu Sensa ili kutimiza lengo la Serikali kupata takwimu za msingi za watu na hali za makazi ambazo zitasaidia kutunga sera, kupanga na kufuatilia mipango ya maendeleo.






