Home LOCAL BALILE AKIRUDISHA FOMU YA KUTETEA NAFASI YAKE TEF

BALILE AKIRUDISHA FOMU YA KUTETEA NAFASI YAKE TEF

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile (kushoto) akirudisha fomu kuashiria utayari wake wa kutetea nafasi hiyo, katika uchaguzi wa  viongozi wa Jukwaa hilo utakaofanyika April 4, 2025 Mjini Songea. wengine ni baadhi ya wanachama wa TEF waliojitokeza kumsindikiza. 

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!