

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan pamoja na Meneja Mkaazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB nchini Tanzania Dkt. Patricia Laverley wakifungua rasmi barabara ya Tabora-Koga-Mpanda 342.9 km Sikonge Mkoani Tabora tarehe 18 Mei, 2022.Wengine katika picha ni Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt. Batilda Buriani, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini TANROADS Mhandisi Rogatus Mativila pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Tabora Mzee Hassan Mwakasubi











Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi wa Sikonge mkoani Tabora wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati akiwahutubia katika Sherehe za ufunguzi wa barabara ya Tabora-Koga-Mpanda 342.9 km uliofanyika Sikonge Mkoani Tabora
