Home SPORTS MUKOKO TONOMBE ATIMKIA TP MAZEMBE

MUKOKO TONOMBE ATIMKIA TP MAZEMBE


KIUNGO Tonombe Mukoko ameachana na klabu ya Yanga na kujiunga na TP Mazembe ya kwao, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Taarifa ya Yanga jioni hii imemshukuru Mukoko kwa mchango wake kama Nahodha Msaidizi kwa kipindi cha msimu mmoja na nusu tangu awasili kutoka AS Vita ya kwao, Kinshasa.

Mukoko anakwenda Mazembe wiki moja baada ya Yanga kumsajili Mkongo mwingine, winga Chico Ushindi kutoka klabu hiyo ya Lubumbashi.

Previous articleSERIKALI HAITAVUMILIA WAFANYABIASHARA WANOPANDISHA BEI ZA BIDHAA KIHOLELA
Next articleKUTOKA MAGAZETINI ASUBUHI YA LEO J.NNE JANUARI 25-2022
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here