ENNA SIMION
HALMASHAURI TEKELEZENI MAAGIZO YA RAIS SAMIA- MHE.KATIMBA
OR-TAMISEMI
Naibu Waziri Ofisi ya Rais - TAMISEMI Mhe. Zainab Katimba amezitaka halmashauri nchini kufuata maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe....
MHE.BASHE AWATAKA WAKULIMA KUWA NA AMANI
NIRC Songea.
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amewaasa wafugaji wa jamii ya Wasukuma wanaoishi katika kata ya Ndalila Wilayani Songea, kuhakikisha kuwa wanaishi kwa amani...
MHE.BASHE AKIFANYA ZIARA KITUO CHA UNUNUZI WA MAHINDI RUVUMA
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amefanya ziara ya ukaguzi katika Kituo cha Ununuzi wa Mahindi cha Kizuka, Mkoani Ruvuma tarehe 18 Septemba...
MAHINDI YASIYO NA UBORA KUTAFUTIWA SOKO KWA AJILI YA MIFUGO
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amewahamasisha wakulima wa mahindi mkoani Ruvuma kuhifadhi mahindi ambayo hayana kiwango, zikiwemo pumba, ili kutafutiwa soko kwa...
WATAALAMU WA KISWAHILI WATAKIWA KUTUMIA FURSA ZA KISWAHILI NJE YA NCHI
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amewataka Walimu na wadau wa lugha ya Kiswahili kuona fursa za kufundisha lugha hiyo...
MASHINDANO KNK CUP 2024 YAHITIMISHWA, MABINGWA WA BUKOMBE, KARAGWE KUCHUANA
* Mshindi wa Kwanza anyakua kitita cha milioni 5*
* Simba, Yanga Wateka Vijana wenye Vipaji*
Mashindano ya KNK CUP 2024 yaliyoandaliwa na Naibu Waziri Mkuu...