Home LOCAL RAIS  SAMIA ATEMBELEA KANISA LA MT. BENEDICTO, PAROKIA YA PERAMIHO, JIMBO KUU...

RAIS  SAMIA ATEMBELEA KANISA LA MT. BENEDICTO, PAROKIA YA PERAMIHO, JIMBO KUU LA SONGEA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Watawa wa Shirika la Benedicto wa Tutzing mara baada ya kutembelea Kanisa la Mt. Benedicto, Parokia ya Peramiho, Jimbo Kuu la Songea mkoani Ruvuma tarehe 24 Septemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Watawa wa Shirika la Benedicto wa Tutzing mara baada ya kutembelea Kanisa la Mt. Benedicto, Parokia ya Peramiho, Jimbo Kuu la Songea mkoani Ruvuma tarehe 24 Septemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo ya historia ya Kanisa kutoka kwa   Padre Fredrick Mwabena OSB alipotembelea Kanisa la Mt. Benedicto, Parokia ya Peramiho, Jimbo Kuu la Songea mkoani Ruvuma tarehe 24 Septemba, 2024.
Previous articleKAFULILA ATANGAZA MAGEUZI MAKUBWA VIVUKO, KARAKANA ZA SERIKALI
Next articleSERIKALI KUANZA UJENZI WA SONGEA BYPASS, KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MALORI SONGEA MJINI.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here