Home LOCAL MKUTANO WA TUME YA KUANGALIA JINSI YA KUIMARISHA TAASISI ZA HAKI JINAI...

MKUTANO WA TUME YA KUANGALIA JINSI YA KUIMARISHA TAASISI ZA HAKI JINAI PAMOJA NA WAHARIRI, IKULU JIJINI DAR ES SALAM

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Zuhura Yunus akizungumza katika Mkutano wa Wajumbe wa Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai pamoja na Wahariri, Ikulu Jijini Dar es Salam tarehe 20 Julai, 2023.

Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu Mhe. Balozi Ombeni Yohana Sefue akizungumza kwenye Mkutano wa Tume hiyo pamoja na Wahariri kutoka Vyombo mbalimbali vya Habari, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Julai, 2023.

Mkuu wa Jeshi la Polisi Mstaafu ambaye pia ni Mjumbe wa Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai Balozi Mhe. Ernest Mangu akitolea ufafanuzi masuala mbalimbali yaliyoibuka kwenye mkutano kati ya Tume hiyo na Wahariri kutoka Vyombo mbalimbali vya Habari, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Julai, 2023.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali  ambaye pia ni Mjumbe wa Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai Mhe. Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi akitolea ufafanuzi masuala mbalimbali ya kisheria katika Mkutano kati ya Tume hiyo na Wahariri kutoka Vyombo mbalimbali vya Habari, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Julai, 2023.

Mjumbe wa Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai Dkt. Laurean Ndumbaro akizungumza katika Mkutano wa Tume hiyo pamoja na Wahariri kutoka Vyombo mbalimbali vya Habari, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Julai, 2023.Mjumbe wa Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai Ndugu Omar Issa akitolea ufafanuzi masuala mbalimbali katika Mkutano wa Tume hiyo pamoja na Wahariri kutoka Vyombo mbalimbali vya Habari, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Julai, 2023.

Mjumbe wa Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai Yahya Khamis Hamad akizungumza katika mkutano wa Tume na Wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya Habari nchini, Ikulu Jijini Dar es Salaam 20 Julai, 2023.

Wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya Habari nchini wakizungumza kwenye Mkutano kati yao na Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Julai, 2023.Wajumbe wa Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai wakiwa kwenye Mkutano wa Wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya Habari nchini, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Julai, 2023.Wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya Habari nchini wakiwa kwenye Mkutano kati yao na Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Julai, 2023.

Wajumbe wa Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai wakiwa kwenye Mkutano wa Wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya Habari nchini, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Julai, 2023.

Wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya Habari nchini wakiwa kwenye Mkutano kati yao na Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuimarisha Taasisi za Haki Jinai, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Julai, 2023.
Previous articleSPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA CAMEROON
Next articlePROGRAMU YA MABADILIKO YA KIUTENDAJI KWA WATAALAM KUSAIDIA UBORESHAJI WA UBORA WA HUDUMA ZA AFYA
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here