Home LOCAL MHE.RAIS AZINDUA JENGO LA MKURUGENZI WILAYA YA MBINGA

MHE.RAIS AZINDUA JENGO LA MKURUGENZI WILAYA YA MBINGA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Jengo la Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Mbinga mkoani Ruvuma tarehe 25 Septemba, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia Wananchi mbalimbali waliofika kwenye uzinduzi wa Jengo la Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Mbinga mkoani Ruvuma tarehe 25 Septemba, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wanachi mara baada kufungua Jengo la Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Mbinga mkoani Ruvuma tarehe 25 Septemba, 2024.

Previous articleSERIKALI KUANZA UJENZI WA SONGEA BYPASS, KUPUNGUZA MSONGAMANO WA MALORI SONGEA MJINI.
Next articleRAIS SAMIA AKITEMBELEA SOKO LA MBINGA

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here