Home LOCAL RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AFUTURISHA MABALOZI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI (EAC)...

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AFUTURISHA MABALOZI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI (EAC) NA MABALOZI WA JUMUIYA YA MAENDELEO YA NCHI ZA KUSINI MWA AFRIKA (SADC) USA

   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mabalozi wa Nchi Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Mabalozi wa Nchi Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), baada ya Futari aliyoiyandaa kwa ajili ya Mabalozi hao Jijini Washington Marekani.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wa Nchi Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Mabalozi wa Nchi Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), baada ya Futari aliyoiyandaa kwa ajili ya Mabalozi hao Jijini Washington Marekani.

Previous articleWAKANDARASI,MIRADI YA MAJI WAISHUKURU SERIKALI
Next articleVISIMA VYA NISHATI YA JOTOARDHI KUANZA KUCHORONGWA SONGWE
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here